Nauza yard na magodauni mawili mbezi luguruni dar es salaam
yard
--ina eneo la sqm 8378
--kuna ofisi ndogo
--kuna nyumba ya msimamizi
--bei ni million 400
magodauni
--yapo mawili ( dogo na kubwa )
--eneo lote ni sqm 7007
--kuna bwawa la samaki
--kuna nyumba ya wafanyakazi
--bei ni million 480
miundombinu zote zipo, malori yanafika mpaka ndani, maji ya dawassa yapo, umeme ukubwa upo.
panafaa kwa uwekezaji wowote.
kwa maelezo zaidi piga simu ndugu mteja
mado