• Ipo mtaa wa Luguruni, mita 500 kutoka Morogoro Road
• Ukubwa wa eneo ni ekari 6
• Ina hati miliki
• Imesajiliwa
• Inauzwa TZS bilioni 1.6
.
✓ ni shule ya upili (secondary)
✓ kidato cha 1-4
✓ kutwa na bweni
✓ ina majengo ya chini na ghorofa
✓ ina majengo ya madarasa, ofisi, maabara na mabweni
✓ ina kiwanja cha michezo
✓ eneo kubwa limebaki linaweza kutumika kwa maendeleo mengine