Nyumba inauzwa mbezi beach kilongawima wilaya ya kinondoni jijini Dar es salaam.
Nyumba ina vyumba sita, sitting room, dining room, studying room na store.
Pia ina servant quarter 2.
Servant quarter moja ina vyumba vi wili na sebule.
Servant ya pili ina chumba ki moja na sebule.
Bei yake shilingi Billioni 2.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu