Nyumba ina vyumba 3 vya kulala viwili kati ya hivyo ni masters, sebule, jiko na public toilet ndani. Nyumba ina servant quarter yenye chumba na sebule pia ipo ndani ya fence yenye parking, garden nzuri na paving blocks. Ipo karibu na barabara ya lami umbali wa mita 100 tu. Nyumba hii ina hati miliki kutoka wizara ya aridhi (title deed) karibu sana maongezi kidogo yapo.