Nyumba nzuri sana na yakujitegemea inapangishwa
Fully Furnished
Ipo Mbezi Beach Near Massana Hospital
Kisai Street
Ina vyumba viwili. Kimoja ni Master Bedroom
Choo na Bafu vya Public ndani
Ipo ndani ya ukuta na ina geti
Umeme na Maji ni Vya kujitegemea yaani No Sharing!
Ina Parking ndani ya ukuta na Geti.
Tunapokea kuanzia Miezi 3 nakuendelea
Dar es salaam, Mbezi Beach, Near Massana Hospital, Kisai Street
Inawafaa watu wa ma ofisini
Watalii, Wafanyabiashara, wafanyakazi wa serikali, na wanaopenda sehemu tulivu na ya kistaarabu ya kuishi.
Welcome All.