Nyumba yenye vyumba vitatu vyote ni master ful furniture inapangishwa
bei ni laki 400,000 kwa mwezi kwa kila chumba bila kusahau sebule na jiko nivya kushea
malipo niyakwanzia mwezi mmoja na kuendelea
ipo mbezi beach afrikana kalibu na balabala kuu ya bagamoyo road
publick toilet pia ipo
ipo ful a/c kwa kila chumba feni pia zipo
ipo ndani ya fensi usalama wa kutosha upo na ipo mtaa mzuli sana
uswahili hakuna kila mpangaji yupo bize na mambo yake
nb: kimebaki chumba kimoja tu ! njoo ulipie na malipo ya dalali ya mwezi mmoja
#cal071XXXXXXX