Aloe Vera, Vitamini B, Tata/changamano ya vitamini nyingi, Antioxidant, Changamano la Madini Mengi, Vitamini B Tisa (Folic Acid)
Viungo Amilifu
Poda
Uundaji
Wanaume
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
Your day will get better using argi# FAIDA ZAKE Huboresha afya ya mzunguko wa damu na kuhakikisha damu inafika katika sehemu zote za mwili. Kwa wanaume husaidia kumpa energy,stamina na kuongeza ufanisi katika tendo la ndoa Husadia kurekebisha kiwango cha BLOOD PRESSURE na kuboresha afya ya moyo kiujumla. Hufaa kwa wanamichezo,watu wa gym na wanamazoezi kiujumla kutokuchoka9 Husaidia mifumo yote ya mwili kufanya kazi zake vizuri kwa kuwa na blood supply ya kutosha. Ina vitamin B ambayo husaida kuupa mwili nguvu na kuongeza metabolism haraka na ku recover mapema. Husaidia kuondoa mafuta mabaya katika mishipa ya damu(bad cholesterol). Husaidia kuzalisah hormone zinazokusaidia usizeke kabla ya mda wako Humarisha afya ya ubongo hasa upande wa kutunza kumbukumbu. Husaidia kuimarisha misuli katika sehemu zote za mwili.