Eneo linauzwa mbagala chamazi siku ilulu wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Eneo lina ukubwa wa square meter 2600.
Eneo limejengewa fensi pande tatu,kwa upande wa mbele wa eneo ndio hakuna fensi.Eneo lipo kwenye mtaa mkubwa,
Bei yake shilingi milioni 130
Mazungumzo yako.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu