Nyumba mbali kwa pamoja zinauzwa mbagala chamazi kwa Akida wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba kubwa kuna vyumba sita, sitting room na jiko.Nyumba ndogo kuna vyumba vi tatu na sebule.Nyumba zote zinauzwa kwa pamoja.
Bei yake shilingi milioni 85
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu