Nyumba inauzwa mbagala mwanamtoti/kijichi mita 50 kutoka barabara ya lami, ina vyumba 5, jiko, sitting room, sebule nyumba ipo kati kati ya mtaa, eneo linafaa kwa kupangisha au hata kuishi baada ya maboresho ya nyumba, fika site maongezi yanakaribishwa whatsapp/call074XXXXXXX