Eneo lina Ekari 5 eneo la Vianzi, Mbagala Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar Es Salaam.
Eneo lina nyumba 2 kubwa na za kisasa, lina mabanda makubwa 10 ya kufugia na kutunzia Mbwa.
Eneo lina mabanda makubwa mawili (2) ya kufugia kuku, lina mabwawa mawili (2) makubwa ya kufugia samaki
Reserve bwawa 1
Kisima kirefu 1
Tower ya Tank 1
Kuna Maji, Umeme na eneo liko karibu na barabara