Dar es Salaam, Temeke, Mbagala, masaa 3 yaliyopita
31 maoni
School for Sale
+1
Shule
Aina ya mali
Mbagala maji matitu
Anwani
Nusu-samani
Samani
Imetumika kwa Haki
Hali
20235sqm
Mita za mraba
10+
Nafasi za Maegesho
Shule ya sekondari inauzwa Mbagala majimatitu.
Shule ipo wilaya ya Temeke jijini
Dar es salaam
Shule ina eneo lenye ukubwa wa ekari 5.
Shule ina madarasa, mabweni, Viwanja vya michezo, nyumba za walimu.
*Bei yake shilingi 800m*