BOMA LINAUZWA - NDUMI, TANGA
Boma zuri la kisasa linauzwa likiwa katika hatua nzuri ya ujenzi, likiwa katika eneo linalokua kwa kasi na lenye fursa nyingi za kiuchumi Ndumi, Tanga.
Mahali Lipo: Ndumi (Kata ya Mnyanjani), Tanga.
Ukaribu: Lipo karibu sana na eneo la Bandari Kavu (Inland Container Depot).
Hali ya Ujenzi: Msingi imara wa zege chini na mawe. Tayari lina vyumba 4 na limefikia hatua ya Lenta (Lintel).
Nyaraka za Umiliki: Hati ya Mauziano ya Serikali ya Mtaa (iko safi haina migogoro).
Mawasiliano na Mazungumzo:
Kwa maelezo zaidi na kwenda kuliona eneo, wasiliana na mmiliki moja kwa moja kupitia:
(Angalizo: Hatupokei madalali wa mtandaoni wasio na ofisi. Mnunuzi makini atapelekwa kuona eneo na msimamizi halali).