nyumba inauzwa kwa bei ya kuhamia!
nyumba ipo hatua ya kumalizia (finishing)
jamani, milioni 38 tu!
unamiliki nyumba yako mwenyewe kwa bei nzuri kabisa!
eneo: kibaha kwa mathias, mtaa wa jamaica
ukubwa wa eneo: 22 × 22
nyumba ina:
vyumba 3 vya kulala
sebule
dining
jiko
umeme upo
maji yapo
umiliki: hati ya mauziano
bei: milioni 38 tu!
haya boss, piga simu twende site ukaione mwenyewe!
beba hela, usichelewe! fursa kama hii haingoji.
piga simu au whatsapp: 0763 144 4001