tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Mali ya Biashara Inauzwa
  4. Hoteli zinazouzwa
Kibaha, Pwani, Maili Mmoja, 29/05
27 maoni

Kibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - Pwani

+1
3
Mita 400 kutoka Morogoro Road
Anwani
Hoteli
Aina ya mali
Imetumika kwa Haki
Hali
4000sqm
Mita za mraba
Samani
Samani
10+
Nafasi za Maegesho
• Mahali: Maili 1, mita 400 toka Morogoro Road • Ukubwa wa kiwanja: Sqm 4,000+ (ekari 1) • Nyaraka: Hati • Bei: TZS milioni 250 • Kupelekwa kuona: TZS 30,000 . jengo la lodge lina vyumba 20 vyote self contained. Pia vyumbani kuna tv na ac jengo la bar lina uwezo wa kuketisha watu 60 kwa pamoja. Pia lina kaunta kubwa, jiko kubwa na stoo jengo la kwanza la ukumbi wa mikutano/shughuli lina uwezo wa kuchukua watu 100 jengo la pili la ukumbi wa mikutano/shughuli lina uwezo wa kuchukua watu 30 jengo la utawala lina ofisi, chumba cha mazoezi na stoo kubwa kuna tenki za kuhifadhia maji zenye ujazo wa lita 5,000 na jenereta endapo umeme utakatika kuna uzio, paving, miti ya kivuli, bustani na nafasi kubwa kwa maegesho ya gari
Kibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - PwaniKibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - Pwani
TSh 250,000,000
1 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif