TAARIFA KWA WATEJA WETU
Wale wateja wetu waliokuwa wanahitaji viwanja vya umeme na maji maeneo ya Kisesa, sasa tunayo habari njema kwenu.
Viwanja safi vipo Kanyama – Busekwa Senta
Ukubwa: 25 × 20
Bei: Tsh 5,000,000
Unaweza kulipia Cash
Au kwa awamu hadi mara 3
Karibu sana kwenye ofisi zetu tukuhudumie,
Pia tunakupeleka site moja kwa moja kuona viwanja.
Kwa maswali na maelezo zaidi wasiliana nasi: