• Direction: Bandarini-Kigamboni Nyerere Bridge Highway
• Facilities: Highway, Railway and 2 sides wall fence
• Condition: Needs fill, pavement, 2 sides wall and front gate
• Yard Area: 4,000+ sqm
• Rent: USD 6,000/month (payment in TSH is accepted)
• Terms: 12 months
• Site visiting: TSH 30,000
.
✓ yard imepimwa na ni salama kwa matumizi ya viwanda
✓ inatazamana na barabara kuu ya lami itokayo daraja la Kigamboni
✓ inahitaji kifusi, uzio pande 2, paving na geti la mbele.
Mpangaji anaruhusiwa kufanya hayo maboresho, gharama zake zitafidiwa ndani ya kodi ya mwaka wa pili wa malipo
.
#InRealEstateWeConnect