Eneo yard na Godowns linauzwa lipo Kurasini maeneo ya Bandari ukitoka mataa ya Uhasibu kama unaelekea Daraja la Kigamboni liko upande wa kulia lina ukubwa wa sqm 3,800 sawa na Heka moja kasoro kidogo sana na kutoka barabara kubwa ya Mandela Road mpaka kwenye hili eneo ni mita 400 mmiliki ni mmoja na lina Hati mwenyewe anauza Bilioni 3tsh maongezi yapo kidogo
Mdoe