Tunauza eneo letu lipo salasala mbuyuni kona ya mbowe, eneo lina ukubwa wa sqm 522 na lina hati kutoka wizarani ya miaka 66. eneo ni nzuri sana kwa ajili ya kufanya kazi yeyote ikiwemo fremu, ofisi, sheli nakadhalika, pia eneo linatazamana na barabara ya lami inayotoka mbuyuni kwenda salasala mwisho wa lami.
mbali na namba ya simu iliyowekwa, unaweza pia kufanya mawasiliano kwa nambari