*FURSA YA UWEKEZAJI – Shamba linauzwa Bagamoyo – Kiwangwa*
Nauza shamba *hekari 30*, lipo *Kiwangwa – Bagamoyo*, umbali wa *kilomita 1 tu kutoka barabara kuu ya lami*.
*Bei: Milioni 2 kwa hekari moja*
Eneo tambarare, linafaa kwa:
Miradi ya kilimo
Ufugaji wa kisasa
Mradi wa nyumba au makazi
Kuweka Greenhouse au vitalu
Ujenzi wa shule, kituo cha afya au biashara kubwa
Shamba linafikika kwa urahisi, lipo karibu na huduma za kijamii.
*Wahi sasa – nafasi ni chache!*
*Mawasiliano:*