Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Gesi, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Shamba Acre 5 zinauzwa bago kiwangwa umbali wa shamba ni njia ya msata nauli shilingi 5000 tu kutoka tegeta nyuki shamba lipo kilomita 3 tu shamba linafaa kwa kilimo cha ufuta mihogo mahindi matunda mimazi mpaka mitiki
Bei milio 2.5 zote tano