Nyumba inauzwa Air Port,ina bedroom tatu za kulala,sitting room,dining,kitchen, public toilet,nyumba mpya ipo sehem nzuri sana... mita 100 kutoka barabara ya Rami ya mtaa... barabara ya Rami ikikamilika inakua ipo umbali wa mita 20 tu... umbali kilometa moja toka Terminal three and Terminal Two.
Kwenda kuona nyumba Service charge Tsh 50000/= karibu