Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji vyote vipo, nyumba ipo mtaa mzuri uliojengeka kwa mpangilio mzuri mno, na nyumba hii ina hati miliki (title deed) kutoka wizara ya ardhi, karibu sana.