Je una tatizo la kuumwa na miguu
1misuli
2miguu kuvimba
3ganzi mikononi na miguuni
4kuumwa shingo
5mgongo
6kiuno
7unastroke
1 Itakusaidia kuondoa maumivu kwenye miguu, unyayo na misuli.
2 Vilevile kitakusaidia kwenye Usisimuaji wa umeme wa misuli ili kukusaidia kama umeyeparalyze mguu na mkono uweze kutembea na kushika vitu tena.
3 Kitakuongezea mzunguko wa damu mwilini ili miguu isivimbe.
4 Kuchochea kupata usingizi,kukupunguzia msongo wa mawazo na kukuondolea mfadhaiko mwili.
5Kuupa mwili wako pumziko baada ya mizunguko ya muda mrefu barabarani au kama ulikaa kwa muda mrefu kazini.
6 Kitakusaidia kama una ganzi miguuni na mikono kuweza kuisha kabisa.
7 Kinatibu maumivu ya mgongo,kiuno,shingo na mabega kwa mode ya therapy
8Kinafanya massage kwenye mapaja,tumbo,mikono kwaajili ya kupunguza kama ni mnene.