tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Vitamini na virutubisho
  4. Kalsiamu
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 7 yaliyopita
4 maoni

Vitamin a D Inasaidia KWENYE Utengenezaji Chembe Hai Mwilin

+1
1
Neolife
Chapa
Viboreshaji vya Mfumo wa kinga
Aina
Tata/changamano ya vitamini nyingi
Viungo Amilifu
Capsule
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Kikaboni
Vipengele
Baada ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Vitamin A&D ni kirutubisho mama katika mwili wa binadamu, ina kazi zifuatazo -Ni muhimu katika ukuaji hasa wa mtoto kwa kutengeneza chembechembe za mwili. -Husaidia kuongeza kinga ya mwili -Husaidia afya ya macho -Inasaidia kutunza ngozi inakuwa kama ya mtoto mchanga -Inasaidia mwili kuongeza ufyonzaji na matumizi ya madini ya calcium ambayo hutumika kutengeneza mifupanna meno kwa 99% -Kuongeza ubora wa mifupa, kuongez ujazo wake na kufanya isipinde na kuvunjika -Pasipo uwepo wa vitamin hii, madini ya calcium hayawezi kuboresha afya ya mifupa.
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif