Vitamini C (Ascorbic Acid), Aloe Vera, Tata/changamano ya vitamini nyingi, Antioxidant, Vitunguu
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Yote
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Virutubisho vya Lishe ya Probiotic
Aina ndogo ya Virutubisho vya Mfumo wa usagaji
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Kinondoni
1 mchana
TSh 5,000
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 10,000 - 15,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Vidonda vya tumbo viko vya aina tofauti kutokana na chanzo chake, forever imejitahidi kumakiza vyanzilishi vyake na vidonda vipone.
1. ACTIVE PRO B, vidonda vingi vinavyopimwa hukutwa ni h.pylori wakimaanisha imesababishwa na bacteria anayeitwa helico bacteria pylori, hawa huharibu kuta za utumbo kwa kuzuia mucus isitengenezwe, hivyo enzyme za kumeng'enya zikija zikikuta hakuna mlo huharibu utumbo, active pro b hukuongezea balance ya bacteria wanaoishi kwa kula h.pylori na kufanya kupungua kwa bacteria wabaya.
2. FIELD OF GREENS, hii ni mchanganyiko wa mboga na matunda zaidi ya 20 kukupa PH ya mwili kuwa alkaline zaidi kuliko acid, hupunguza acid na kuboresha mmeng'enyo.
3. ALOE VERA GEL, Huongeza ufyonzwaji wa virutubisho kwenye damu.
4. GARLIC THYME, ni vitunguu swaumu pamoja na viungo vya thyme kwa ajili ya kutibu vidonda.