Ulcers husababishwa na bacteria wanaotiwa H-pyrol
Hawa bacteria uwa wanaharibu/kuvunjavunja utando ambao uwa unakinga acid inayozalishwa tumboni kutoshambulia utumbo
Hivyo basi utando ule ukiharibiwa acid uwa inaenda direct tumboni na kuleta ulcers
Hii chai inasaidia
Kuuwa bacteria wa H-pylori
Inapunguza wingi wa acid tumboni
Inasaidia kurudisha utando unao protect utumbo husishambuliwe na acid
Inasaidia kuondoa gas tumboni
Kuondoa kiungulia
Kuongeza hamu ya kula