tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Vitamini na virutubisho
  4. Viongeza vya Syrup
  5. Stemcell Vitamini na virutubisho
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 4 yaliyopita
5 maoni

Stemcel Caps.

+1
Superlife
Chapa
Virutubisho vya Seli Shina
Aina
Antioxidant, Vitamini C (Ascorbic Acid), Vitamini B, Cellulase, Collagen, Microcrystalline Cellulose, Silica (Silicon Dioxide)
Viungo Amilifu
Capsule
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili, Haina kemikali, Pombe Bure, Bila Allergen, Kikaboni
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
mikocheni
09:00-18:00
Ni tiba ya kisasa inayotumia seli asilia za mwili kuleta uponyaji wa kudumu. Seli huzaana, hufa, Neno "Stem ni mmea au mti. Stemcell ni seli maalum zinazotolewa kwenye mimea, matunda au mizizi iliyolimwa kisayansi. Seli hizi zina muundo unaofanana kabisa na seli za binadamu. Hutengenezwa katika maabara za kisasa nchini Malaysia, USA, na UK, kisha huhifadhiwa kama vidonge, poda au syrup. *Zinafanya kazi vipi mwilini?* Stemcell za mimea zinapoingia mwilini, hubadilika na kuwa seli halisi za binadamu. Kazi yake kuu ni: 1. *Kuziba pengo* – Kuchukua nafasi ya seli zilizokufa. 2. *Kuamsha* – Kuzihamasisha seli zilizolala au kudumaa. 3. *Kuhuisha* – Kuzipa nguvu seli zilizochoka. 4. *Kukarabati* – Kurudisha uwezo wa asili wa mwili kujitibu wenyewe. hufanya kazi kama _antioxidant_ na _anti-aging_, na hazina kemikali
TSh 190,000

TSh 160,000

≥ vipande 5
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif