Yote ya Asili, Haina kemikali, Pombe Bure, Bila Allergen, Kikaboni
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
mikocheni
09:00-18:00
Ni tiba ya kisasa inayotumia seli asilia za mwili kuleta uponyaji wa kudumu.
Seli huzaana, hufa,
Neno "Stem ni mmea au mti. Stemcell ni seli maalum zinazotolewa kwenye mimea, matunda au mizizi iliyolimwa kisayansi. Seli hizi zina muundo unaofanana kabisa na seli za binadamu. Hutengenezwa katika maabara za kisasa nchini Malaysia, USA, na UK, kisha huhifadhiwa kama vidonge, poda au syrup.
*Zinafanya kazi vipi mwilini?*
Stemcell za mimea zinapoingia mwilini, hubadilika na kuwa seli halisi za binadamu. Kazi yake kuu ni:
1. *Kuziba pengo* – Kuchukua nafasi ya seli zilizokufa.
2. *Kuamsha* – Kuzihamasisha seli zilizolala au kudumaa.
3. *Kuhuisha* – Kuzipa nguvu seli zilizochoka.
4. *Kukarabati* – Kurudisha uwezo wa asili wa mwili kujitibu wenyewe.
hufanya kazi kama _antioxidant_ na _anti-aging_, na hazina kemikali