Tata/changamano ya vitamini nyingi, Dextrose, Maca, Asidi ya Stearic, Silica (Silicon Dioxide), Changamano la Madini Mengi, L-Arginine, Magnesium Stearate, Microcrystalline Cellulose, Calcium Citrate
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Wanawake
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Haina kemikali, Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
Utajuaje hormones zako haziko #balanced? Kama unatumia P2 kwa mfululizo Kama Period zako hazifwati mpangilio Kama unakaa hata miezi 3 bila period Kama ni mwanamke na una ndevu Kama nywele zinanyonyoka bila sababu Kama huna moods (unakasirika hovyo bila sababu) Kama hushiki mimba Kama una over weight Kama unasweat sana usiku (hot flashes) Kama uke mkavu Kama unakosa hamu ya tendo la ndoa Kama una infection za mara kwa mara ukeni Kama wewe ni mwanamke wa zaidi ya miaka 45 Na mwisho - Kama daktari amekwambia una hormonal imbalance Hormonal Imbalance hospital hutibiwa na vidonge vya uzazi wa mpango - ambavyo huupa mwili "synthetic estrogen" inapooza symtoms kwa muda ; ila inaongeza tatizo even more (estrogen dominance) 100% natural - Works so well! No artificial chemicals, No side effects!! Tena kuna moja hapo ni tamu CALL +