Blueberry, Antioxidant, Dextrose, Cellulase, Asidi ya Folinic, Vitamini C (Ascorbic Acid), Calcium, Blackberry, Chuma
Viungo Amilifu
Poda
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Ghafi, Kikaboni, Halali, Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Kipeto cha Zipu
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
mikocheni
09:00-18:00
Umetumia dawa za hospitalini au miti shamba au virutubisho na hujapona bado kuna tumaini.
Ndani ya mwlii wako kuna kitu kinaitwa seli shina. Kazi ya hizo seli ni kuuwezesha mwili ujitibu wenyewe au kusaidia dawa unazotumia ili zikutibu.
Endapo hizi seli zako zikiwa zimekufa au kupoteza uwezo inakua ngumu sana kupona au kutibika kwa dawa yyte ile.
Kwa hio kitu ambacho wataalamu na madaktari wa uswis waligundua miaka ya hivi karibuni ni kumrudishia mgonjwa seli zake na kurekebisha zile zilizoharibika kwa matumizi ya stemcell therapy.
Seli za mwili huweza kuharibika kwa sababu nyingi. Umri mkubwa, maradhi mbalimbali, matumizi holela ya dawa, sumu ya vyakula tunavyakula maji na vinywaji, kutokuwa na tabia ya kufanya mazoezi, kuzalia n.k.
Stemcell therapy ni seli shina za mwili, zilizochakatwa kisayansi kutoka kwenye mimea asilia.