Vitamini B, Antioxidant, Aloe Vera, Vitamini C (Ascorbic Acid)
Viungo Amilifu
Poda
Uundaji
Yote
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Haina kemikali, Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
*Habari ya Muda huu Boss*
*Unafahamu kuwa mwili wako unabeba Kg 4mpaka Kg 9 za Sumu / Taka mwili kutokana na mabaki ya chakula ambacho hakijatolewa kwenye utumbo wako*
Asilimia kubwa ya watu huhisi kuwa na vitambi kumbe la hasha ni uchafu uliojikusanya Tumboni na kuonekana kama kitambi...
*Ndio. Na ndiyo maana unahitaji kusafisha sumu mwilini Mwako mara kwa Mara kadri iwezekanavyo... *
• Kutokana na kutokuwa na mmeng'enyo mzuri wa chakula,Utumbo mpana hugeuka kuwa ni sehemu ya mazalia makubwa ya bacteria, Virus tofauti tofauti.
Virus Hawa husababisha changamoto nyingi za tumbo, mwili kuchoka na kuumwa mara kwa mara.
Mfumo wako wa mmeng'enyo unapokuwa hauko vyema kiafya, hupelekea mwili mzima kutokuwa sawa hii ni kwasababu Mfumo mzuri wa mmeng'enyo wa chakula, huusaidia mwili mzima kuwa na Afya njema!
Na ndo maana ninakushauri kufanya Usafi wa mfumo mzima wa angalau mara 2 mpaka mara 5 kulingana na uwezo wako ili uweze kuondoa taka mwili na sumu zote mwilini.