Vitamini C (Ascorbic Acid), Aloe Vera, Tata/changamano ya vitamini nyingi, Antioxidant
Viungo Amilifu
Kunywa
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Forever aloe vera gel ina 97.7% aloe vera pure ni mara chache sana kukuta bidhaa ina asilimia nyingi sana za aloe vera asilia, hii inaongeza vitamin c nyingi sana kwa ajili ya kuondosha sumu.
Ni moja ya bidhaa inayopandisha juu kinga ya mwili kwa kuongeza mgawanyiko wa cell mpya kwenye damu na hivyo huongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa, ni nzuri sana kwa jinsia zote na watu umri ulioenda kidogo lkn pia kwa watoto wadogo kama hapati choo, karibu saba tunazo bidhaanyingi sana