Omega-tatu, Tata/changamano ya vitamini nyingi, Calcium, Changamano la Madini Mengi, Vitamini B, Aloe Vera
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Yote
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili, Haina kemikali
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
ZUIA VIMBE ZA KIZAZI 1. *Arctic sea* Ni mchanganyiko wa mafuta ya *samaki* na mafuta ya *mzaituni*(olive oil) Husaidia sana katika ukuaji wa ubongo wa mtoto mdogo akiwa tumboni mwa mama, kupunguza mafuta mabaya (cholestoral), nzuri kwa macho na ngozi pia. 2. *Absorbent C* Hii ni vitamin C ambayo inasaidia katika kulisha ngozi ya mama na ya mtoto. Ni vitamu. 3. *Forever B12+* Hii bidhaaa ni mchanganyiko wa vitamin B12 na Folic acid ambazo ni nzuri katika kuongeza damu na kusupport formation ya mifupa ya mtoto. 4. *Calcium* Ni muhimu sana katika kuzalisha calcium ambayo mama inabidi aipeleke kwa mtoto wake akiwa tumboni Bidhaa zote hizi zinatumika na kufika siku 30 na nyingine zaidi Kumbuka hizi si dawa ni virutubisho