Inaweza kusaidia kwa:
Kuimarisha afya kwa ujumla (overall well-being)
Kusaidia uponyaji wa mwili
Kusaidia mfumo wa moyo na mishipa ya damu (cardiovascular system)
Kusaidia kazi ya kongosho (pancreas function)
Kupunguza maumivu ya viungo na mwili
Kusaidia kuvunja na kudhibiti cholesterol
Kuongeza cholesterol nzuri (HDL)
Kusafisha mishipa ya damu
Kudhibiti presha ya juu (blood pressure)
Kuboresha mzunguko wa damu
Kupunguza maumivu ya kichwa na kipandauso (migraines)
Kusaidia afya ya akili na maendeleo ya ubongo
Kusaidia ukuaji wa akili kwa watoto na mtoto tumboni
Kusaidia gout
*Kusaidia kuzuia hatari ya shambulio la moyo na kiharusi*
*_Kwa pamoja na fibre inaweza kusaidia kudhibiti sukari ya damu_*.
*Na Vitamin C inaweza kusaidia kupunguza maumivu na uvimbe kwenye vifundo