Vitamini C (Ascorbic Acid), Vitamini D, Aloe Vera, Antioxidant, Vitamini B
Viungo Amilifu
Kunywa
Uundaji
Yote
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Vanilla
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Sanduku la Karatasi
Furushi
Virutubisho vya Kupoteza Uzito
Aina ya Bidhaa za Kupoteza Uzito
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Watu wengi sana wanakosea kwa kudhani kuwa mazoezi ndio suluhisho la kudumu la kupungua uzito bila kujua kuwa ikitokea tu umeacha mazoezi basi mwili unaanza ile kazi ya kukusanya mafuta upya tena kwasababu hujaondoa sumu na takamwili ambazo ndio cuanzo kikuu cha uzalishwaji wa mafuta kwenye tumbo la chini (lower abdomen)ndo maana utaskia watu wengi wanasena "mimi nilienda gym miezi miwili nikapungua 2kg lakini nilipoacha nikarudia kwenye unene"
so leo nataka ujifunze kwamba njia pekee ya wewe kupungua uzito sio kuacha kula au kufanya mazoezi tu bali inaanza na wewe kuhusafisha mwili wako na kuondoa sumu mwilini.
unaweza kufanya hivi kwa kutumia our fit program itakupa uwezo wa kusafisha kwa asilimia kubwa taka mwili na kukupa matokeo ya kupungua kati ya kilo 3 mpk kilo 9 au zaidi ndani ya siku 24 na kupata muongozo wa mazoezi na chakula sahihi.