Antioxidant, Vitamini C (Ascorbic Acid), Vitamini B, Acetyl-L-Carnitine, Asidi ya Alpha-Lipoic, Bentonite, Asidi ya Folic, Magnesiamu
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili, Pombe Bure, Kikaboni
Vipengele
Baada ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Nyingine
Aina ya Virutubisho vya Mifupa na Cartilage
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
mikocheni
09:00-18:00
*Sciatic pain* = *Maumivu ya Mshipa wa Sciatic* au kwa Kiswahili *"Maumivu ya Kiuno kushuka Mguuni"*.
Ni moja ya maumivu makali sana ya mwili.
*1. MSHIPA WA SCIATIC NI NINI?*
Fikiria waya mkubwa wa umeme.
*Mshipa wa Sciatic* ndio mshipa mrefu na mnene zaidi mwilini. Unaanza:
1. *Kutoka kiunoni/kifuani mwa uti wa mgongo* – sehemu ya chini kabisa
2. *Unapita kwenye tako* – upande wa kulia au kushoto
3. *Unashuka kwa nyuma ya paja*
4. *Unagawanyika kwenye goti* kwenda kwenye ndama na unyayo wa mguu
Kazi yake: Kupeleka hisia na kuamuru misuli ya mguu mzima isogee.
*2. SCIATICA INATOKEA VIPI?*
Maumivu yanatokea pale *mshipa huu unapobinywa, kukazwa, au kuvimba*
Kwa *wagonjwa wa sukari ya juu kwa muda mrefu inaharibu mishipa midogo. Mshipa wa sciatic ukiharibika = maumivu makali zaidi.