Male fertility tea
Kama mwanaume uwezo wako wa kuzaa unategemea wingi na ubora wa mbegu zako
Ikiwa idadi ya sperm uliyomwaga ni ndogo au ikiwa mbegu haina ubora, itakuwa ngumu na haiwezekani kupata mimba.
Ingredient zinazopatikana kwenye hii chai;
Fructus jujubae, mizizi ya maca, Fructus lycii, rhizoma polygonati, mulberry, ginseng kali
Faida zake
-Kuongeza na kuboresha idadi ya mbegu za kiume
-Kuboresha uhamaji wa mbegu za kiume
-Kuongeza nguvu ya mbegu za kiume
-Kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanaume
-Kuboresha Stamina
-Rutubisha figo
Jinsi ya kutumia;
Unatakiwa kunywa tea bag moja kwa siku
chemsha maji ya moto weka tea bag moja ichanganyike vizuri halafu kunywa
Pakti moja linakuwa na tea bag 10