Tata/changamano ya vitamini nyingi, Changamano la Madini Mengi
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Berry
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Kinondoni
1 mchana
TSh 5,000
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 10,000 - 15,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Forever kids imetengenezwa na matunda ya dhabibu na aina nyingine za mboga mboga kama brocolli, spinach ,carrots na zingine nyingi. Ina vitamins zote pamoja na madini na phytonutrients
Vitamin c hufanya kinga iwe imara huku vitamin D3 ikiboresha ukuaji na maendeleo ya mtoto, madini ya chuma na vitamin B12 husaidia afya ya utambuzi au ukuaji wa akili, uchangamfu, maamuzi, ujuaji n.k
Forever kids ina ladha ya dhabibu tamu hivyo hutatumia nguvu kuwafanya watoto wale bali watakuwa wanaiomba wenyewe kutumia kama umesahau kwa sababu ni tamu.
Ukiwa na forever kids ni muda wako kama mama kupumzika mana una hakika watoto wanapata virutubisho vyote miili yao inahitaji.
Ni tamu kumumunya kama pipi na kutafuna pia ni tamu hivyo ni rahisi kwa mtumiaji yoyote yule.
WASILIANA NASI KWA NUMBER074XXXXXXX