Tata/changamano ya vitamini nyingi, Vitamini C (Ascorbic Acid), Antioxidant, Changamano la Madini Mengi, Aloe Vera, Vitamini B
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Yote
Jinsia
Mwandamizi
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Bila Allergen, Yote ya Asili, Kikaboni, Pombe Bure, Haina kemikali
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
Probiotic maana yake ni bacteria wazuri ambao wanasaidia mmeng’enyo wa chakula .Kila kidonge kina aina sita za strains of microbes ambao huzuia ukuaji wa bacteria wabaya, husafisha utombo mdogo, na kulinda virutubisho na antioxidant ziweze kupambana na vyakula visivyo faa Ndio probiotic pekee isiohitajika kuhifadhiwa kwenye jokofu. Inafanya kazi vizuri sana kama itatumiwa pamoja na Aloe vera gel. Faida: Husaidia ufanisi wa chakula mwilini, husafisha njia ya chakula, hufanya vaykula visigeuke sumu mwilini, husaidia matatizo ya kupata haja kubwa. The important role that beneficial microbes play in human health and the need for probiotic supplementation. Designed to promote a healthy digestive system, Forever Active Probiotic is a small, easy-to-swallow beadlet that helps overcome imbalances created by our food and lifestyle choices,