NIPIGIE SIMU, NITUMIE SMS AU NITAFUTE WHATSAPP ILI TUWASILIANE KWA UKARIBU ZAIDI USIOGOPE KUNITAFUTA
Open
• Jumatatu - Jumapili, 00:00-23:59
Inaimarisha:
-1.melatonin
(i)homoni hii hufanya kazi sambamba na ubongo.
(ii)kupandisha kinga ya mwili.
(iii)husaidia mwili kukingwa na sumu ambazo zinavamia mwili.
(iv)kupata usingizi kwa muda sahihi.
2.thyroid
(i)kuhimili mzunguko wa ukuwaji wa mwili.
3.insulin
(i)kuhimili mzunguko mzima wa sukari mwilini.
4.dhea
(i)inasaidia kutopata kansa
(ii)inasaidia kutopata kisukari
(iii)inasaidia usiwe katika uzito uliozidi.
5.estrogen
(i)kuhimili shughuli za uzazi kwa mwanamke.
6.progesterone
(i)inasaidia upatikanaji wa mimba.
7.testosterone
(i)husaidia kuzalisha mbegu hai za uzazi kwa mwanaume.
8.hgh
hii ndio homoni homoni ambayo inacheza na homoni zote mwilini.
(i)huweka uwiano sahihi wa mwili wa mwanadamu.
wote wenye changamoto mbalimbali za maradhi hii ndio bidhaa mama kwakuwa inasimama katika kurekebisha utendaji sahihi wa vilinda mwili.