Ginseng ni mitishamba inayouzwa sana marekani. ina
Steroid inayopatikana kwenye mimea ya jamii ya ginseng.
Ginseng ni molecule ndogo inapoingia mwilini huingia katika kila ogani sbu ya udogo wake na hufanya kazi yake kwa uhakika mpaka pale itakapotolewa nje ya mwili.
Udogo wa steroid hii ya ginseng na ueneaji wa dawa hii katika kila organi ya mwili na uwezo wake wa kukaa mwilini kwa muda mrefu huifanya ginseng kuwa dawa imara katika kutibu magonjwa kama
GINSENG hii inaundwa na RH2 na RG3 ndizo steroid zinazoweza kupambana na magonjwa mbalimbali na kuzuia kansa, na kuondoa sumu zote za madawa mwilini.
1. Hutibu moyo
9. Huondoa allergy
10. Husaidia ongezeko insulin
11. Huondoa uchovu
Huongeza kinga
kuzuia kansa
kumbukumbu na stroke.
hutibu na kuzuia kusambaa kwa uvimbe
Hutibu upungufu wa nguvu za kiume na kuongeza kutungisha mimba.