Vitamini D, Vitamini K mbili (Menaquinone), Tata/changamano ya vitamini nyingi, Aloe Vera
Viungo Amilifu
Vidonge
Uundaji
Wanawake
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Asali
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
Faida za royal jelly kwa mwanamke
*kuboresha mfumo wa uzazi kwa kurutubisha na kupevusha mayai
*kuondoa maumivu wakati wa hedhi na kurekebisha mzunguko wake
*kuondoa matatizo yatokayo na kukoma kwa hedhi
*kurutubisha nywele na kupunguza kasi ya kuota mvi
*kuondoa msongo wa mawazo na kukupa utulivu(mood and concentration)
*kupata usingizi wa usiku vizuri
*kukupa nguvu
*kupunguza kasi ya uzee kwa kuondoa mikunjo ya ngozi/wrinkles
zingatia royal jelly sio dawa bali ni chakula cha asili/virutubisho.hivo tumia kurutubisha afya yako.