tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Vitamini na virutubisho
  4. Vitamini C
  5. Vitamin C Vitamini na virutubisho
Dar es Salaam, Kinondoni, 08/06
12 maoni

Forever Aloe Vera Gel

+1
Forever Living
Chapa
Virutubisho vya Detox & Kuosha
Aina
Tata/changamano ya vitamini nyingi, Antioxidant, Vitamini C (Ascorbic Acid), Vitamini B, Aloe Vera, Amino Asidi
Viungo Amilifu
Gel
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mazoezi
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Kinondoni
1 mchana
TSh 5,000
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 10,000 - 15,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Aloe vera gel ni kinywaji kilichotengenezwa kiasili na mmea wa aloe vera wakichukua kiini cha ndani tu ,huku maganda ya nje wakiyaacha. Haijaongezwa kemikali yoyote wala sukari yoyote Kunywa aloe vera gel ni sawa na kuchuma aloe vera shambani na kuitumia ikiwa na virutubisho vyake vyote, Aloe vera gel ni mlo uliokamilika wenye nutrients 200, vitamins 20 pamoja na amino acids 6 Fauda. 1. Husaidia kuboresha mmeng'enyo wa chakula. 2. Ina viondosha sumu vingi sana ikiwemo vitamin c itakayokuondolea taka na sumu tunazotumia kutoka kwenye mazingira. 3. Husaidia kung'arisha ngozi. 4. Husaidia kupata choo kizuri na kwa wakati. 5. Huongeza nguvu mwilini. 6. Hupunguza sukari kwenye damu. 7. Huzuia kasi ya uzee . Kama unaipenda afya yako pata hii angalau kila baada ya miezi mitatu Tumia mls 120 kila asubuhi na jioni.
TSh 81,000

TSh 78,000

≥ vipande 10
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif