Tata/changamano ya vitamini nyingi, Antioxidant, Vitamini C (Ascorbic Acid), Vitamini B, Aloe Vera, Amino Asidi
Viungo Amilifu
Gel
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mazoezi
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Kinondoni
1 mchana
TSh 5,000
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 10,000 - 15,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Aloe vera gel ni kinywaji kilichotengenezwa kiasili na mmea wa aloe vera wakichukua kiini cha ndani tu ,huku maganda ya nje wakiyaacha. Haijaongezwa kemikali yoyote wala sukari yoyote
Kunywa aloe vera gel ni sawa na kuchuma aloe vera shambani na kuitumia ikiwa na virutubisho vyake vyote,
Aloe vera gel ni mlo uliokamilika wenye nutrients 200, vitamins 20 pamoja na amino acids 6
Fauda.
1. Husaidia kuboresha mmeng'enyo wa chakula.
2. Ina viondosha sumu vingi sana ikiwemo vitamin c itakayokuondolea taka na sumu tunazotumia kutoka kwenye mazingira.
3. Husaidia kung'arisha ngozi.
4. Husaidia kupata choo kizuri na kwa wakati.
5. Huongeza nguvu mwilini.
6. Hupunguza sukari kwenye damu.
7. Huzuia kasi ya uzee .
Kama unaipenda afya yako pata hii angalau kila baada ya miezi mitatu
Tumia mls 120 kila asubuhi na jioni.