Vitamini C (Ascorbic Acid), Aloe Vera, Tata/changamano ya vitamini nyingi, Antioxidant, Chai ya Kijani
Viungo Amilifu
Kunywa
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Vanilla
Ladha
Yote ya Asili
Vipengele
Kabla ya Mazoezi
Wakati wa kuchukua
Sanduku la Karatasi
Furushi
Virutubisho vya Kupoteza Uzito
Aina ya Bidhaa za Kupoteza Uzito
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
F15 ina dietary supplements kwa ajili ya weightloss, ndani ya box kuna supplements tano ikiwa na weightloss supplements mbili zenye green tea, green coffee na vitamin B complex nyingi sana kukusupport kuyeyusha mafuta na kukupa energy na mood nzuri na pia inaongeza kasi ya mwili kutoa taka (metabolism), program hii unatumia kwa siku 15 na mwongozo kwenye kitabu chake, na hii itakupelekea kupunguza kwanzia kilo 10 mpaka kilo kilo 15 within 15 days,
baada ya hapo kama goal yako haijatimia ya kupunguza uzito wako, unaingia kwny stage ya 3 ya FIT PROGRAM ambayo ni vital 5 , hii unatumia mwezi mzima ukifanya body balancing usiweze kunenepa tena lakini pia ina mult minerals na mult vitamins zikiwa unaendelea kupungua siku hadi siku ukipata mkakati mzuri wa lishe iliyopo ndani yake utapunguza kilo zaidi ya 20 kwa system zote mbili.