tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Vitamini na virutubisho
  4. Mafuta ya Samaki
  5. Cholesterol Vitamini na virutubisho
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 iliyopita
24 maoni

Fish Oil Soft Gel

+1
1
Other
Chapa
Viboreshaji vya Mfumo wa kinga
Aina
Mafuta ya Samaki
Viungo Amilifu
Capsule
Uundaji
Yote
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Mafuta ya samaki ni product nzuri sana inafaa kwa watoto watu wazima pamoja na wazee Mafuta ya samaki yanasaidia vitu vifuatavyo kwenye mwili Husaidia kuondoa pressure ya kupanda na kushuka Huondoa cholesterol kwenye mishipa ya damu Husaidia kukukinga na magonjwa ya moyo Husaidia kuongeza kinga ya mwili na kulisha cell kwa kiwango cha juu Husaidia ukuaji wa ubongo na kutunza kumbukumbu Kwa wamama wajawazito husaidia mtoto kuzaliwa akiwa na afya njema Kuongeza uwezo wa kuona Kupunguza kasi ya uzee Huimarisha afya ya ngozi Husaidia kuimarisha viungo yaan mifupa Husaidia kuondoa allergy kwa watoto Husaidia kuondoa constipation Husaidia kurudisha ute ute kwenye maungio Kopo moja lina supplement 100 Jinsi ya kutumia Unatakiwa kutumia supplement mbili kwa siku moja asubuhi na nyingine jioni Bei:35000
TSh 35,000
Bei isiyobadilika
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif