Huongeza Damu Mwilini: Huchochea uzalishaji wa damu kuzuia upungufu wa damu baada ya hedhi.
Hulinda Ujauzito: Ina Asidi ya Folic inayosaidia ukuaji mzuri wa ubongo wa mtoto.
Hupunguza Kichefuchefu: Huondoa hali ya kutapika na kichefuchefu kwa wajawazito.
Huondoa Ganzi na Uchovu: Hutibu maumivu ya mishipa ya fahamu na udhaifu wa mwili.
Hupa Mwili Nishati: Inampa mwanamke nguvu na uchangamfu wa kumudu majukumu ya ujauzito