Tata/changamano ya vitamini nyingi, Antioxidant, Changamano la Madini Mengi
Viungo Amilifu
Capsule
Uundaji
Yote
Jinsia
Yote
Kikundi cha Umri
Vanilla
Ladha
Yote ya Asili, Haina kemikali, Pombe Bure, Bila Allergen, Kikaboni
Vipengele
Baada ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Victoria place makumbusho
call me to make appointment
Open
• Jumatatu - Jumapili, 07:00-23:59
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo
call me to make appointment
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:00-18:00
Colostrum ni aina ya maziwa ya mwanzo yanayotolewa na mama baada ya kujifungua, lakini pia hupatikana kama virutubishi vya ziada.
Faida za kutumia supplement ya colostrum
Kuimarisha Kinga ya Mwili
Colostrum ina protini muhimu kama vile immunoglobulins (IgG, IgA) ambazo huimarisha kinga ya mwili, kulinda dhidi ya maambukizi na magonjwa.
Kusaidia Ukuaji wa Misuli na Mwili
Ina virutubisho kama vile growth factors (IGF-1 na IGF-2) vinavyosaidia kujenga misuli, kurekebisha tishu, na kukuza ukuaji wa mwili kwa ujumla.
Kuimarisha Mfumo wa Mmeng’enyo wa Chakula
Colostrum husaidia kurekebisha utumbo na kulinda dhidi ya matatizo kama Costipation
Husaidia Watoto na Watu Wazima
Inapendekezwa kwa watoto na watu wazima wenye kinga dhaifu, walio na magonjwa sugu, au wanaohitaji virutubishi vya ziada kwa ajili ya afya bora.