Carotenoid complex huu ni mkusanyiko wa rangi za matunda na mboga za majani zinaitwa Antioxidant vitu vinavyo ondoa uchakavu,uchakavu ndio husababisha magonjwa, Carotenoid,inaongeza kinga ya mwili kwa 37%ikitumiwa ndani ya siku 20,huongeza damu,inaongeza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa ikiwemo saratani ,pia inakukinga na vimelea vyote vya kansa,huboresha ngozi na inasaidia macho kuona vizuri