Tafiti Zinaonesha kwenye hospital Kubwa ya Taifa MUHIMBILI Miongoni Mwa Watu 10, Watu 7 Wanapoteza Maisha Kila siku kwa Magonjwa ya Non Comminicable diseases. Nikimaanisha Magonjwa yasiyoambukiza kwa mfano Canser,Kisukari,Matatizo ya Figo,Moyo Kufeli n.k
Hivyo basi Watu wanapenda sana kujiweka bize sanaa kiasi cha kwamba adi wanasahau kuijali miili yao. Nakusahau Kwamba Mwili uwa unaifadhi sumu nyingi kutoka kwenye vyakula au vinywaji tunavyovitumia.
Nipo hapa kukushauri uwe unajitengenezea tabia ya kutumia virutubisho ili viweze kuboost kinga yako vizuri na kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza. AFYA BORA KWA WOTE