1. Huongeza uoni(kuona) kwa wenye matatizo sugu ya macho
2. Husaidia kuona vizuri wakati wa mwanga hafifu (night vision)
3. Huondoa uchovu wa macho utokanao na kutumia kompyuta au simu kwa muda mrefu au kusoma kwa muda mrefu
4. Husaidia afya ya macho kwa watoto.